Hatimaye Tiwa Savage amuanika sura mwanaye

Erasto
0


TIWA
Staa wa muziki kutoka Naija, Tiwa Savage.
BAADA ya kukaa miezi kadhaa bila kuonesha sura ya mtoto wake tangu ajifungue, staa wa muziki kutoka Naija, Tiwa Savage hatimaye ameamua kumuanika sura mwanaye.
imageStaa huyo ambaye ni msichana wa kwanza kuingia Lebo ya Mavin inayomilikiwa na Don Jazzy aliamua kuwapa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi mashabiki wake kwa kuanika sura ya mwanaye ambaye anamfananisha kama mtoto wa Krismasi.

Post a Comment

0Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
Post a Comment (0)

#buttons=(Accept !) #days=(20)

Our website uses cookies to enhance your experience. Learn More
Accept !